Uvaaji wa cheni au shanga kiononi kwa wanawake ni aina ya utamaduni ambao umekuwa ukipendwa sana na wanawake hasa wa pwani tangu miongo mingi iliyopita na kutokana na mabadiliko ya ya kiutamaduni na kuenea kwa utandawazi wanawake wengi wamekuwa wakivaa shanga au cheni kiunoni kama fasheni tu au urembo pasipo kujua matumizi, Loo!

Vile vile kwa upande wa wanaume nao wamekuwa sio wataalamu katika kuzitumia shanga/cheni hizi ziwapo kiunoni mwa wapenzi wao na hivyo kupunguza ari ya wao kufaidi tendo lenye raha kuliko matendo yote,namaanisha kutiana.

Zifuatazo ni baadhi tu ya namna ambavyo shanga au cheni za kiunoni huweza kuleta kizaa zaa kwa mwanaume na hata mwanamke mwenyewe na kumfanya asisimke kimahaba jambo linalotia ashki sana pale mnapojiandaa kula lile tunda taam ambalo hata chokleti haifikii.

*Kitendo cha mkaka kuona cheni/shanga kadhaa zimetokeza tu kiunoni mwa mdada mrembo ambaye anavutia na kujitunza basi ni mistake tosha mkaka huyo amefanya kwa kuchungulia chungulia kwenye viuno vya watu wenye taaluma zao.

Cheni/shanga hizi huleta muonekano mzuri sana pale zinapokuwa zimefanya mizunguko kadhaa kiunoni mwa mdada ambaye anajithamini na kujijali hivyo mwanamume aliyetimia lazima asisimke na kujawa na hisia za matamanio ya hali ya juu kwa kuona shanga/cheni hizo na kama kwa bahati nzuri mdada ukamfuma mkaka huyo akiangalia kiunoni hapo utamuana jinsi alivyozuzuka na macho ya uchu yamemtoka kwa kuona vifaa nyeti vya kumkolezea mwanaume chumbani.

*Cheni/shanga hizi hutumika kuchezewa kwa ustadi na wanaume waliobobea katika haya majamboz hasa pale wanapotumia ndimi zao kuzungusha kiunoni mwa wapenzi wao huku shanga/cheni hiyo ikiwa mdomoni na ulimi ukitumika ipasavyo katika kugusa na kutekenya ngozi ya mpenzwake na mazingira yote ya jirani ilipopita shanga hizo kama vile kwenye kinena,na hata kumani. Mtekenyo huu ukifanywa kwa ustadi hakika mwanamke hujihisi burudani sana kifaa chake hicho cha kiunoni kilivyopata mtumiaji.

*Shanga/cheni hutumika katika kuamsha uume pale unapoonekana kuanza kulala. Kwa kutumia cheni wanawake wataalam huchukua uume wa mpenz wake na kuupenyeza au kuuviringisha juu ya shanga/cheni hiyo mithili ya mtu anayesukuma chapatti hivyo hufanya uume wa mtu wake kupata nguvu na amsha amsha ndani ya muda mfupi na hivyo iwapo tayari imesimama huingizwa taratibu kumani tayari kufanya shughuli yake ya kukuna sehemu husika mpaka pale mwanamke anapokiri kweli hakuna raha kama kutiwa pale unapompata mtiaji
 
 NINI KAZI YA 'SHANGA ZA KIUNONI' KITANDANI NA NINI MAANA YA RANGI ZAKE.
,naomba tuongelee rangi za shanga kwa wale wanaopenda kuvaa shanga.
Najua wengi mtakuwa mnafahamu rangi na maana zake lakini kwa wale wasiojuwa amawanaopenda kuvaa lakini wanajinunulia rangi yeyote huu ndo wakati mwafaka.
Wanaume wengi wanaopenda wanawakewao wavae shanga ili kusisimuana tu .Je mnafahamu zinamaanisha nini?. ...Karibu tujifunze pamoja.
Katika swala la mahaba shanga hutumika kusisimuana haswa pale utakapompata mwanaume anayejuwa kuzitumia vizuri na unaweza kuvaa hata kumi ukitaka . Jana niliguswa sana na simulizi la rafiki yangu juu ya shanga, hivyo nikaona boraniandike na wengne wajue.Hii ni sehem ndgo ya simulizi lake.
".........Nilikutana na boyfiriend wangu maeneo ya Shycom …tukaelekea kwenye disko. Tulikuwa tunacheza madensi, halafublues, ya Boyz to Men ikaanza kupigwa. Wenye disko walipunguza taa. Mimi na boyfriend wangu tukakumbatiana na kuanza kucheza Blues.
Miili yetu iligusana na akaana kunipapasa taratibu kufuatana na beats za muziki. Nilifurahi sana. Akateremsha mikono yake kwenye kiuno changu.
Alivyogusa shanga zangu akawa kama mwili wake umekufa ganzi. Alisisimuka we! Akanishika kwa nguvu, niligundua kuwa ham yake ilikuwa juu....."
Naamini utakuwa umejifunza kitu fulani muhimu kutokana na simulizi hilo.Sasa turudi kwenye mada yetu.
Kuna wengine wanananunua rangi kama pink, blue, gold hizi rangi hazina maana kwenye sita kwa sita ni urembo tu kupendezesha kiuno.

RANGI ZENYE MAANA PINDI UWAPO KITANDANI NA MPENZI WAKO

Nyekundu :

ukimkuta mwanamke amevaa shanga ya rangi hii unatakiwa kuelewa kwamba mwanamke huyu yupo kwenye hedhi, kwahiyo wewe fanya mengine lakini sio kutumbukia unless yeye mwenyewe amekuruhusu na wewe uwe na uwezo wa kutumbukia hata akiwa kwenye hedhi (kitu ambacho kiafya akishauriwi).

Nyeupe:

ukimkuta mwanamke amevaa shanga nyeupe hii humaanisha hana tatizo lolote litakalomfanya asikupe raha ya sita kwa sita, kwahiyo ukitaka tu muda wowote unapata.

Nyeusi:
 ukimkuta mwanamke amevaa rangi nyeusi hii humaanisha ya kwamba yupo tayari kukupa raha za sita kwa sita lakini uwanja wake haujakatwa majani, kwa hiyo chaguo ni lako kama unataka kutumia siku nzima kutafuta goli haya, ama kama utamsaidia kumkatia majani uwanjani vizuri zaidi ama kama huwezi yote basi mpe muda akate mwenyewe. 
karibu kujifunza zaidi

Post a Comment

POPULAR POST

 
Top