
Eleazar Palomo Castillo, maarufu kwa jina El Cochi au The Pig, anatajwa kuwa kama kiongozi mkuu wa mihadarati katika mji wa San Pedro Garza García, na naibu kamanda wa genge hilo katika jimbo hilo, linalo pakana na Marekani.
Taarifa kutoka kwa jeshi la Mexico zilisema kuwa alikamatwa baada ya gari lake kukataa kusimama kwenye kizuizi cha ukaguzi karibu na uwanja wa ndege wa Monterrey.
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.