- Vitamin A huisaidia kuimarisha ngozi na uwezo wa kuona.
- Vitamin B huimarisha uwezo wa kutafakari na kuboresha utendaji kazi wa ubongo na kuzuia msongo wa mawazo.
- Vitamin C huimarisha kinga ya mwili na kuzuia visababishi vya saratani.
- Vitamin E hufanya ngozi yako kuwa nyororo na kuonekana kijana.
- Vitamin K huimarisha mifupa na huhusika na ugandaji wa damu pale unapoumia
Kabichi
ni zao linalolimwa mahala pengi sana hapa duniani. Mboga hii imekuwa
ikiwekwa katika hadhi ya chini katika mboga, na hata watu huitumia pale
tu wanapoona hakuna jinsi ya kupata mboga ya aina nyingine. Na hivyo
utaona ikitumika katika sehemu za jumuiya kama vile shule, magerezani na
vyuoni kwani gharama yake ni ndogo hivyo huweza kuhimili hali ya
kuinunua kwa matumizi ya watu wengi.
Mboga
hii ina manufaa mengi sana mwilini lakini iwe ni mpya ya
kijani/nyekundu au hata zambarau na siyo ile iliyokaa sana sokoni hadi
kusinyaa, hiyo haina manufaa. Mboga hii ina faida zifuatazo:
kuondoa sumu mwilini
kabichi
ina Vitamin C kwa wingi kuliko hata machungwa, pi aina kampaundi za
salfa, vitu hivi huisaidia sana kusafisha damu na kuondoa sumu na
kupigana na visababishi vya saratani mwilini. Pia huimarisha ini hivyo
hulifanya lifanye kazi vizuri.
Huzuia saratani
Ulaji
wa kabichi huzuia saratani ya matiti, utumbo mpana na saratani ya
korodani (testes) kwa wanaume. Kwani ina kampaundi zinazosaidia kupigana
na visababishi vya saratani.
Huzuia uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo
Mboga
hii huondoa lehemu katika damu kwani huleta shinikizo kubwa la damu
pale yanapojaa, na pia huweza kusababisha kiharusi na moyo kupasuka.
Hivyo kabichi husaidia kuondoa.
Ina Vitamin Muhimu kwa wingi
Kabichi ina Vitamin A, B, C, E na K kwa wingi ambazo zina faida kubwa sana mwilini kama ifuatavyo:
Manufaa
mengine ni kama vile kulinda mwili na maambukizi ya magonjwa
mbalimbali,pia hutibu vidonda vya tumbo, kwani utafiti uliofanywa na
chuo kikuu cha tiba cha Stanford ambapo wagonjwa 13 walipona vidonda vya
tumbo kwa kunywa juisi ya kabichi mara 5 kwa siku kwa muda wa siku 7
hadi 10. Kabichi pia hutibu michubuko mbalimbali ya mwili.
Vilevile
huisaidia sana kupunguza uzito au unene kwani ina kiwango kidogo sana
cha kabohidreti na mtu anayetaka kupunguza unene na uzito anashauriwa
kula saladi ya kabichi kwa wingi.
Pia
kabichi hupunguza tatizo la kufunga choo kwani ina kambakamba
zinazosaidia kulainisha choo na Vilevile ina madini ya salfa na chuma
yanayosaidia kusafisha utumbo.
Jinsi ya kuandaa kabichi:
Kabichi
inapendekezwa sana kuliwa ikiwa mbichi kwa kuongezwa ndimu na chumvi
ili kuleta ladha nzuri kama vile kachumbari, Vilevile unaweza tu
ukaichemsha supu yake lakini isiive sana kiasi cha kuua virutubisho
vyake, inapendekezwa kuchemka kwa dakika 4 hadi 5 tu. Pia inaweza
ikakatwakatwa na kutengenezwa juisi yake kiasi cha kikombe kimoja cha
chai kinatosha. Pia inaweza kuchanganywa na mboga nyingine kama vile
mchicha au majani ya maboga.
Utunzaji:
Kumbuka
kuitunza kabichi pale unapotoka kuinunua kwa kuihifadhi katika jokofu
(friji) ili isiingie vijidudu. Vilevile kumbuka kuwa kabichi huwa ina
tabia ya kuhifadhi vijidudu pale inapotoka shambani au pia huwa na
uchafu wa mbolea au dawa za kuua vijidudu, hivyo unapaswa kuiosha sana
kwa maji safi na kuiacha ndani ya maji safi kwa muda wa nusu saa kabla
ya kuitumia ili kuua vijidudu hivi.
Angalizo:
Ulaji
wa kabichi uliopitiliza huweza kusababisha ugonjwa wa rovu (goiter).
kwahiyo watu wenye tatizo la rovu wasile kabichi kwa wingi.
Related Posts
- Umuhimu wa mazoezi kwa mwanamke mjamzito: Sehemu Ya Nne - Mazoezi maalumu kwa wamama wajawazito09 Dec 20150
Haya Wapenzi leo tutamalizia sehemu ya nne na ya mwisho ya mazoezi yapaswayo kufanywa na wam...Read more �
- Umuhimu wa mazoezi kwa mwanamke mjamzito: Sehemu Ya Tatu - Mazoezi maalumu kwa wamama wajawazito09 Dec 20150
Mama mjamzito anabidi awe anauwezo wa kusikiliza yale yanayoendela katika mwili wake ...Read more �
- VYAKULA MUHIMU KWA WAJAWAZITO09 Dec 20150
VYAKULA MUHIMU KWA WAJAWAZITO kumbuka kwamba vyakula vyote vinaweza kuwa ni muhimu mwilini lak...Read more �
- Tofauti Kati moyo kukamatwa na Heart Attack08 Oct 20150
kumbukumbu Kutokana: difference between cardiac arrest and heart attack Watu wengi hutumia m...Read more �
- zijue DALILI ZA MAGONJWA YA NGONO NA KUEPUKA NAYOO........25 Aug 20150
MAGONJWA YA NGONO Mfumo wa uzazi unaweza kuathiria na mambo mbali mbali ikiwa ni pamoja na ma...Read more �
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
POPULAR POST
-
Uvaaji wa cheni au shanga kiononi kwa wanawake ni aina ya utamaduni ambao umekuwa ukipendwa sana na wanawake hasa wa pwani tangu miong...
-
UKWELI KUHUSU MAJINI Kuhusu majini kuna majini wema na wabaya (a) Majini wema. 1.Majini wema awamuingii mtu na kumlazimisha mambo kwa...
-
Kutombana ni raha Jamani asikwambie mtu haswa ukimpata mwenza anayejua nini anafanya awapo kwenye mazingira hayo... Wengi wetu tu...
-
Katika ukurasa huu napenda ni zungumzie athari 2 kubwa zinazotokana na kufanya mapenzi katika njia ya haja kubwa . Wanaume waliowengi ...
-
MWANAMKE anapopata ujauzito kwa kawaida huwa anaanza kuona dalili ambazo si za kawaida. Na ni wakati huo ambao ni muafaka kwake kuanz...
-
MDALASINI NA ASALI Asali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na magonjwa na m...
-
WAMAWAKE wengi wanatamani kuwa na matumbo madogo, lakini wengi hushindwa kufikia ndoto hiyo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za...
-
Hivyo basi, kama wewe unasumbuliwa na kunenepa ama tumbo kuwa kubwa baada ya kuzaa. Usijali hizi hapa tips. KUMBUKA: be patient w...
-
Uchaguzi wa jinsia, au kutabiri jinsia ya mtoto atakaezaliwa ni topic yenye mkanganyiko katika kada ya afya hususani uwanja wa mat...
Post a Comment
Click to see the code!
To insert emoticon you must added at least one space before the code.