Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club usiku huu katika shoo wa wakali P-Square.…
Mwanamuziki Judith Wambura 'Lady Jaydee' au 'Anaconda' akiwapagawisha mashabiki wake waliohudhuria katika Viwanja vya Leaders Club  katika shoo wa wakali P-Square.
 
Watu... Jideeeeeeeeeeee...
 
Machozi Band nao walikuwepo kumback up Jide.


Baadhi ya mashabiki ambao wameingia tayari katika Viwanja vya Leaders kwa shoo ya P-Square.
 Mpaka sasa saa 3: 18 usiku  bado shoo haijaanza na wananchi bado wanazidi kuingia ndani ya Viwanja vya Leaders kwa ajili ya burudani kali kutoka kwa wakali hao Peter na Paul Okoye.

Post a Comment

POPULAR POST

 
Top